International,Normal News,Bayern

Majeraha kumuweka Kane nje wiki mbili

Joel JJ By Joel JJ
β€’
3 Dec 2024
Majeraha kumuweka Kane nje wiki mbili

Mshambuliaji wa Bayern Munich Harry Kane atakaa nje kwa muda kutokana na kupasuka kwa misuli ya paja, klabu hiyo imesema

Kane alitolewa nje baada ya dakika 33 katika sare ya 1-1 Jumamosi dhidi ya Borussia Dortmund. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 31 atakosa mechi ya 16 bora ya Kombe la Ujerumani la Bayern nyumbani dhidi ya mabingwa Bayer Leverkusen leo Jumanne

Bayern ilitoa taarifa siku ya Jumapili ikisema kuwa nahodha huyo wa Uingereza alipasuka msuli mdogo nyuma ya paja lake la kulia

Taarifa zaidi zimebainisha kuwa Kane huenda akakosa kucheza kwa wiki mbili

Bayern wamebakiza mechi tano zaidi mwaka 2024. Baada ya ziara ya Leverkusen, Bayern wanaikaribisha Heidenheim kabla ya kucheza na Shakhtar Donetsk mjini Gelsenkirchen, wakimenyana na Mainz kwenye Bundesliga na kuwakaribisha RB Leipzig katika mechi ya mwisho ya mwaka.

More Stories

Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
2h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
4h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
8h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
9h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
9h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
11h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
14h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
22h ago
READ MORE β†’
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
1d ago
READ MORE β†’