Nottingham Forest inajiandaa kuwasilisha dau la kumnunua mshambuliaji wa Brighton na Jamhuri ya Ireland Evan Ferguson, 20, mwezi Januari . (Football Insider)
Real Madrid wanataka kumsajili beki wa Liverpool kutoka Uingereza Trent Alexander-Arnold, 26, kwa uhamisho wa bure. (Telegraph - usajili unahitajika)
Liverpool wanapanga kufanya uhamisho wa pauni milioni 91 Januari kwa beki wa..... download Xtra 90 App



