Local,Normal News,Simba

Simba yakubali kichapo Algeria

Joel JJ By Joel JJ
β€’
8 Dec 2024
Simba yakubali kichapo Algeria

Simba imeacha alama zote tatu nchini Algeria baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya CS Constantine

Mohammed Hussein 'Zimbwe Jr' alifunga bao la Simba mapema dakika ya 20 akipiga krosi iliyojaa moja kwa moja kimiani

Hata hivyo dakika 5 za mwanzo kipindi cha pili zilikuwa majanga kwa Simba CS Constantine wakifunga mabao yao mawili dakika ya 47 Hamza akijifunga kabla ya Brahim kufunga la pili dakika ya 50

Kuingia kwa mabao hayo kuliifanya Simba izinduke na kupeleka mashambulizi langoni kwa CS Constantine lakini kukosekana umakini katika eneo la mwisho kulipelekea matokeo hayo kubaki hivyo kwa dakika zote 90

Mapema Bravos iliichapa CS Sfaxien na hivyo kuongeza ushindani katika kundi A

CS Constantine wanaongoza wakiwa na alama 6 huku Simba ikifuata nafasi ya pili ikiwa na alama 3 kama ilivyo kwa Bravos. Sfaxien wanaburuza mkia wakiwa hawana pointi

Disemba 15 Simba itakuwa uwanja wa Benjamin Mkapa kuikaribisha CS Sfaxien

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
1m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
30m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’