Mapinduzi Cup kushirikisha timu za Taifa

Joel JJ By Joel JJ β€’ 9th December 2024


Mapinduzi Cup kushirikisha timu za Taifa

Kwa mara ya kwanza michuano ya kombe la Mapinduzi 2024/25 inatarajiwa kushirikisha timu za Taifa badala ya klabu kama ilivyofanyika miaka iliyopita

Michuano ya mwaka inatarajiwa kuanza Januari 03 na kumalizika Januari 10 2025 visiwani Zanzibar

Zanzibar Heroes na Kilimanjaro Stars zitashiriki huku Kenya, Uganda, Burundi na Burkina Faso nazo zikithibisha ushiriki wao

Michuano hii itakuwa fursa timu za Taifa kujiandaa na michuano ya CHAN inayotarajiwa kufanyika Tanzania, Kenya na Uganda mwezi February 2025

Bingwa wa michuano hiyo ataondoka na kitita cha Tsh 100M


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.