Yanga yaifuata TP Mazembe

Joel JJ By Joel JJ β€’ 12th December 2024


Yanga yaifuata TP Mazembe

Kikosi cha Yanga kimeondoka jijini Dar es salaam kuelekea DR Congo wanakokabiliwa na mchezo wa raundi ya tatu hatua ya makundi ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya TP Mazembe

Mchezo huo utapigwa Jumamosi, Disemba 14 katika uwanja unaomilikiwa wenyeji wao TP Mazembe

Yanga imeweka hadharani majina ya wachezaji waliosafiri


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.