Kuelekea dirisha dogo la usajili litakalofunguliwa Jumatatu, Disemba 16, klabu ya Pamba Jiji imetambulisha usajili wak wa kwanza Deus Kaseke
Kaseke ametua Pamba Jiji akiwa mchezaji huru klabu yake ya mwisho kuitumikia ikiwa ni Fountain Gate
Kiungo mkongwe huyo pia amewahi kuzitumikia Mbeya City, Singida United na Yanga ambayo ndio klabu aliyoitumikia kwa muda mrefu..... download Xtra 90 App



