Msimamo wa makundi CAF CL, R3

Joel JJ By Joel JJ β€’ 16th December 2024


Msimamo wa makundi CAF CL, R3

Sare ya bao 1-1 dhidi ya TP Mazembe imefufua matumaini kwa Yanga katika mkakati wao wa kuwania tiketi ya kutinga robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika

Hata hivyo bado Yanga imeendelea kusalia katika nafasi ya nne kundi A linaloongozwa na Al Hilal ambayo pengine inahitaji alama moja tu ili kufuzu

Huu hapa msimamo wa makundi baada ya mechi za raundi ya tatu


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.