Sare ya bao 1-1 dhidi ya TP Mazembe imefufua matumaini kwa Yanga katika mkakati wao wa kuwania tiketi ya kutinga robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika
Hata hivyo bado Yanga imeendelea kusalia katika nafasi ya nne kundi A linaloongozwa na Al Hilal ambayo pengine inahitaji alama moja tu ili kufuzu
Huu hapa msimamo wa makundi baada ya mechi za raundi ya tatu



