Dirisha dogo la usajili limefunguliwa leo Jumatatu Disemba 16 2024 na litafungwa Januari 15 2025
Klabu za Ligi Kuu, Championship, ligi daraja la kwanza na ligi ya Wanawake zitakuwa takribani mwezi mmoja wa kuboresha vikosi vyao
Timu mbalimbali za ligi kuu zilianza kufanya usajili wa dirisha dogo mapema lakini sasa ndio wanaweza kuwasajili katika timu zao na kuanza kuwatumia



