Dirisha dogo la usajili lafunguliwa Tanzania Bara

Joel JJ By Joel JJ β€’ 16th December 2024


Dirisha dogo la usajili lafunguliwa Tanzania Bara

Dirisha dogo la usajili limefunguliwa leo Jumatatu Disemba 16 2024 na litafungwa Januari 15 2025

Klabu za Ligi Kuu, Championship, ligi daraja la kwanza na ligi ya Wanawake zitakuwa takribani mwezi mmoja wa kuboresha vikosi vyao

Timu mbalimbali za ligi kuu zilianza kufanya usajili wa dirisha dogo mapema lakini sasa ndio wanaweza kuwasajili katika timu zao na kuanza kuwatumia


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.