Local,Normal News,Yanga, Mashujaa

Yanga kuikabili Mashujaa Fc KMC Complex Alhamisi

Joel JJ By Joel JJ
β€’
17 Dec 2024
Yanga kuikabili Mashujaa Fc KMC Complex Alhamisi

Baada ya ombi la kubadili uwanja kutoka Azam Complex kwenda KMC Complex kukubaliwa na Bodi ya Ligi, keshokutwa Alhamisi, Disemba 19 Yanga itacheza mechi yake ya kwanza katika uwanja huo dhidi ya Mashujaa Fc

Wananchi wa Dar sasa watashuhudia mechi za timu yao mapema kwani mechi zote zinazochezwa KMC Complex zinaanza saa 10 jioni

Itakuwa mechi ya pili kwa kocha mkuu wa Yanga Sead Ramovic ambaye aliiongoza Yanga kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Namungo Fc katika mchezo uliopita wa ligi

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amewataka mashabiki wa timu hiyo kuwa wamoja ili kuhakikisha wanashinda mechi zote nne za ligi zinazofuata kabla ya mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya TP Mazembe utakaopigwa Januari 03 2025 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Baada ya mchezo dhidi ya Mashujaa Fc, Disemba 22 Yanga itashuka tena uwanja wa KMC Complex kuikabili Tanzania Prisons kisha kusafiri jijini Dodoma kuikabili Dodoma Jiji Disemba 25

Disemba 29 Yanga itarejea tena KMC Complex kuikabili Fountain Gate

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
3h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
7h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
9h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
11h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
13h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
13h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
14h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
16h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
19h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’