Tanzania Prisons imepata pigo baada ya winga wao tegemeo Zabona Mayombya kujiunga na klabu ya Pamba Jiji
Pamba Jiji imethibitisha kukamilisha usajili wa Mayombya ambaye alikuwa mmoja wa wachezaji tegemeo wa Prisons
Prisons inachuana na Yanga leo katika mchezo wa ligi kuu utakaopigwa uwanja wa KMC Complex
Unaweza kusema wajelajela hao wanapita katika kipindi kigumu na pengine..... download Xtra 90 App



