International,Transfer News,

Tetesi za usajili Ulaya, Alhamisi Disemba 26 2024

Joel JJ By Joel JJ
β€’
26 Dec 2024
Tetesi za usajili Ulaya, Alhamisi Disemba 26 2024

FC Zurich wamewasiliana na Arsenal kuuliza kuhusu upatikanaji wa mshambuliaji wa Uingereza Nathan Butler-Oyedeji, 21, mwezi Januari. (Football Insider)

Paris St-Germain huenda wakaipa Arsenal nafasi ya kumsajili fowadi wao wa nje wa Ufaransa Randal Kolo Muani, 26. (Standard)

Mkufunzi wa timu ya Brighton ya wachezaji walio chini ya umri wa miaka 18 Calderon, 42, yuko kwenye mazungumzo ya juu ili kuwa meneja mpya wa Bristol Rovers. (Sky Sports)

Bayern Munich ina matumaini ya kutaka kumnunua kiungo mshambuliaji wa Ujerumani Florian Wirtz, 21, ambaye yuko kwenye majadiliano na Bayer Leverkusen kuhusu mkataba mpya. (Sky Germany)

Mkufunzi wa Leicester City Ruud van Nistelrooy anaweza kuegemea kwenye uhusiano wake na Manchester United ili kupata saini ya mkopo inayofaa Januari. (Football Insider)

Manchester United walianza kutafuta mrithi wa muda mrefu wa Erik ten Hag mara tu meneja wao wa zamani Mholanzi alipotia saini mkataba mpya msimu wa joto. (Telegraph – Subscription Required)

Manchester United wamepewa nafasi ya kumsajili mshambuliaji wa Nigeria Victor Osimhen mwezi Januari, huku Napoli wakiwa tayari kwa mkataba wa kubadilishana wachezaji kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo Galatasaray. (TBR Football)

Everton wanajiandaa kumpa kipa wa England Jordan Pickford, 30, mkataba mpya ambao utamweka katika klabu hiyo kwa maisha yake yote yaliyosalia. (TBR Football)

Chelsea, Arsenal na Tottenham zote zimetuma maskauti kumtazama beki wa pembeni wa Club Brugge na Ubelgiji Maxim de Cuyper, 24. (Caughtoffside)

BBC

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’