NBC PL : Mechi moja kupigwa leo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 27th December 2024


NBC PL : Mechi moja kupigwa leo

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mchezo mmoja unatarajiwa kupigwa saa 1:00 usiku

Azam Fc watakuwa dimba la nyumbani Azam Complex wakiwakaribisha JKT Tanzania. Katika mechi ya mzunguko wa kwanza timu hizi zilipokutana zilitoka sare tasa

Baada ya kipigigo cha dakika za jioni dhidi ya Simba, maafande wa JKT Tanzania leo wana kazi nyingine mbele ya Azam Fc


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.