Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mchezo mmoja unatarajiwa kupigwa saa 1:00 usiku
Azam Fc watakuwa dimba la nyumbani Azam Complex wakiwakaribisha JKT Tanzania. Katika mechi ya mzunguko wa kwanza timu hizi zilipokutana zilitoka sare tasa
Baada ya kipigigo cha dakika za jioni dhidi ya Simba, maafande wa JKT Tanzania leo wana kazi nyingine mbele ya Azam Fc




