Mshambuliaji wa Brazil Matheus Cunha, 25, anakaribia kusaini mkataba mpya ulioboreshwa katika klabu ya Wolves licha ya Arsenal kumtaka. (Telegraph - usajili unahitajika)
Randal Kolo Muani huenda akaondoka Paris St-Germain mwezi huu, huku AC Milan, Juventus, Bayern Munich, RB Leipzig, Aston Villa na Tottenham zikimuwania mshambuliaji huyo wa Ufaransa mwenye umri wa miaka 26. (Ben..... download Xtra 90 App



