Ushindi wa bao 1-0 ugenini dhidi ya dhidi ya CS Sfaxien jana uliihakikishia Simba kusogea hadi nafasi ya pili katika msimamo wa kundi A kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF CC)
Simba sasa inahitaji angalau alama moja katika mchezo unaofuata dhidi ya Bravos ili kutinga robo fainali
CS Constantine wako kileleni mwa kundi A wakifikisha alama 9 baada ya kuichapa Bravos mabao 4-0 hapo jana
Huu hapa msimamo wa makundi yote;



