Msimamo wa makundi CAF CC baada ya raundi ya 4

Joel JJ By Joel JJ β€’ 6th January 2025


Msimamo wa makundi CAF CC baada ya raundi ya 4

Ushindi wa bao 1-0 ugenini dhidi ya dhidi ya CS Sfaxien jana uliihakikishia Simba kusogea hadi nafasi ya pili katika msimamo wa kundi A kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF CC)

Simba sasa inahitaji angalau alama moja katika mchezo unaofuata dhidi ya Bravos ili kutinga robo fainali

CS Constantine wako kileleni mwa kundi A wakifikisha alama 9 baada ya kuichapa Bravos mabao 4-0 hapo jana

Huu hapa msimamo wa makundi yote;


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.