Azam Fc yavuta beki Ivory Coast

Joel JJ By Joel JJ β€’ 9th January 2025


Azam Fc yavuta beki Ivory Coast

Klabu ya Azam Fc Imemtambulisha mlinzi wa kati raia wa Ivory Coast Zouzou Landry (23)

Zouzoua amejiunga na Azam Fc akitokea Afad Djekanou ya Kwao Ivory Coast

Beki huyo anamudu vyema kucheza nafasi ya mlinzi wa kati na mlinzi wa Kushoto


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.