Local,Normal News,

Yanga yaichapa Al Hilal 1-0 Mauritania

Joel JJ By Joel JJ
β€’
13 Jan 2025
Yanga yaichapa Al Hilal 1-0 Mauritania

Al Hilal wamekufa sebuleni kwao Yanga ikichukua alama tatu muhimu katika mchezo wa raundi ya tano ligi ya mabingwa barani Afrika

Shuti la nje ya 18 kutoka kwa Stephane Aziz Ki lilitosha kuihakikishia Yanga ushindi muhimu ambao sasa unaweka hai matumaini ya kufuzu robo fainali

Yanga sasa inahitaji ushindi wa aina yoyote nyumbani dhidi ya MC Alger ili kutinga robo fainali

Haikuwa mechi nyepesi lakini wachezaji wa Yanga wameonyesha kwa vitendo kuwa wanaitaka robo fainali

Dakika 90 za mechi ya kuhitimisha hatua ya makundi dhidi ya MC Alger Januari 18 zitakamilisha mpango wa Yanga kufuzu robo fainali

INAWEZEKANA....!

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’