Shirikisho la Soka barani Afrika CAF limetangaza kuisogeza mbele michuano ya mataifa bingwa ya Afrika CHAN hadi Agosti mwaka huu
Taarifa ya shirikisho hilo imebainisha kwamba wameahirisha michuano hiyo licha ya waandaaji ambao ni Kenya, Tanzania na Uganda kufanya vema katika maboresho ya viwanja, hoteli, hospitali na miundombinu na vifaa vingine kwa ajili ya kuandaa michuano..... download Xtra 90 App



