Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Yanga Ali Kamwe amesema mechi dhidi ya MC Alger ni ngumu hivyo wanapaswa kuendea mchezo huo kwa tahadhari kubwa
Kamwe amesema mijadala mingi inayoendeshwa huko mitandaoni inaonesha kama Yanga inakwenda kushinda kirahisi na kutinga robo fainali lakini sivyo
"Tumeona mijadala mbalimbali katika magrupu ya Whatsapp, inaonekana mashabiki wa..... download Xtra 90 App



