International,Transfer News,

Tetesi za usajili Ulaya, Ijumaa Januari 17 2025

Joel JJ By Joel JJ
β€’
17 Jan 2025
Tetesi za usajili Ulaya, Ijumaa Januari 17 2025

Manchester United imekataa ofa ya pauni milioni 40 kutoka kwa klabu ya Italia Napoli kwa ajili ya winga wa Argentina Alejandro Garnacho, 20. (Mirror)

Everton wanafikiria kumnunua mshambuliaji wa zamani wa Chelsea na Brazil Willian, 36, ambaye ni mchezaji huru baada ya kuondoka Olympiakos mwezi Desemba. (Telegraph)

Manchester City italazimika kulipa pauni milioni 67 kumnunua beki wa Juventus na Italia Andrea Cambiaso, 24, katika dirisha la uhamisho la Januari. (Gianluca di Marzio)

Borussia Dortmund wameungana na AC Milan kutaka kumsajili mshambuliaji wa Manchester United na Uingereza Marcus Rashford, 27. (Florian Plettenberg, Sky Germany)

Arsenal wamekubali masharti binafsi na nyongeza kubwa ya mshahara na kiungo wa kati wa Real Sociedad na Uhispania Martin Zubimendi, 25. (Football Transfers)

West Ham na Tottenham wana nia ya kumsajili mshambuliaji wa Barcelona na Uhispania Ansu Fati, 22. (Sport )

Real Madrid wana nia ya kumsajili mlinzi wa kati wa Arsenal na Ufaransa William Saliba, 23, msimu wa joto. (Foot Mercato)

Klabu ya Al-Hilal ya Saudi Arabia imeanzisha tena mazungumzo na wawakilishi wa mshambuliaji wa Liverpool na Misri Mohamed Salah. (L'Equipe)

West Ham wanafikiria kumnunua mshambuliaji wa Nottingham Forest na Nigeria Taiwo Awoniyi, 27. (Florian Plettenberg)

Forest itamlenga mshambuliaji wa Brentford na DR Congo Yoane Wissa iwapo Awoniyi ataondoka katika klabu hiyo mwezi huu. (Telegraph)

Dortmund wanavutiwa na winga wa Brentford na Ujerumani Kevin Schade, 23. (Bild)

Atlanta United wametoa ofa ya £15m kwa mshambuliaji wa Crystal Palace Mfaransa Odsonne Edouard, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo Leicester City. (Mail)

BBC

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’