Klabu ya Singida Black Stars imethibitisha kumsajili mshambuliaji raia wa Ghana Jonathan Sowah
Sowah tayari ametua Singida BS sambamba na Mghana mwenzie, Frank Assinki anayecheza nafasi ya beki wa kati
Hivi karibuni Singida BS ilitangaza kuachana na mshambuliaji raia wa Ivory Coasta Joseph Guede ambaye nafasi yake sasa inajazwa na Sowah
Unaweza kusema katika dirisha dogo la..... download Xtra 90 App



