Mshambuliaji mpya wa Singida Black Stars, Eliuter Mpepo amefichua kilichomkwamisha kutua Tabora United katika dirisha la usajili la Januari kuwa ni kuchelewa kuwekewa dau la usajili jambo lililomfanya kubadili uamuzi licha ya kupewa mkataba wa awali
Mpepo ambaye ni mmoja wa wachezaji wa Singida Black Stars inayonolewa na Hamdi Miloud, alisema kuchelewa kwa usajili kulimfanya kuangalia..... download Xtra 90 App



