Klabu ya Mashujaa imefikia makubaliano ya kusitisha mkataba na aliyekuwa mchezaji wao, Ismail Mgunda
Kupitia taarifa waliyotoa katika ukurasa wao wa mtandao wa kijamii, Mashujaa wamethibitisha kuondoka kwa Mgunda huku wakimtakia kila la kheri katika majukumu yake mapya
"Asante sana shujaa wetu kwa kipindi chote tulichokuwa pamoja kwenye himaya hii ya Watanganyika. Kila la kheri..... download Xtra 90 App



