Droo ya hatua ya makundi ya AFCON 2025 itafanyika Jumatatu, Januari 27 mjini Rabat, Morocco. Tanzania ni miongoni mwa timu zitakazoshiriki michuano hiyo ambayo itafanyika baadae mwaka huu ikiwekwa poti namba 4
Huu hapa mpangilio wa mataifa ambapo CAF inatumia viwango vya FIFA vya mwezi uliopita





