Kiungo mshambuliaji wa Yanga Maxi Nzengeli amesema hana muda wa kufuatilia yanayozushwa kuhusu mkataba wake na Yanga kwani hilo sio jukumu lake
Akiwa katika msimu wake wa pili na Yanga, tayari tetesi zimeanza kuhusu hatma yake baadhi ya taarifa zikidai hatasaini mkataba mpya huku wengine wakidai mchezaji huyo anaitumikia Yanga kwa mkopo kutoka AS Maniema





