Kuelekea mchezo wa ligi kuu dhidi ya Simba ambao utapigwa Jumapili Februari 02 katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, klabu ya Tabora United huenda ikashindwa kuwatumia nyota wapya waliowasajiliwa na timu hiyo katika dirisha dogo kutokana na kukosa leseni
Imeelezwa Tabora United bado haijalipa Tsh Milioni 20 kwa ajili ya wachezaji hao 7 kupatiwa leseni





