Ili kuhakikisha Timu ya Soka ya Taifa (Taifa Stars), inafanya vizuri katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), maandalizi yake yawe ni 'jambo' la kitaifa na si kuacha jukumu hilo kwa Serikali na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imeelezwa
Katika fainali hizo zitakazofanyika kuanzia Desemba 21, mwaka huu hadi Januari 18, mwakani nchini Morocco, Taifa Stars imepangwa..... download Xtra 90 App



