Kocha Mkuu wa Yanga Sead Ramovic amesema wamejiandaa kwa mechi ngumu ya ligi kuu dhidi ya Kagera Sugar ambayo itapigwa leo Jumamosi katika uwanja wa KMC Complex
Akizungumza katika Mkutano na wanahabari jana, Ramovic alisema Kagera Sugar ni timu ngumu na watahitaji kuwa bora katika mchezo huo ili kuibuka na ushindi
Ramovic alisema dhamira ya Yanga ni kushinda kila mchezo ili kurudi..... download Xtra 90 App



