Arsenal imefufua matumaini katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kuwachapa wapinzani wao Manchester City mabao 5-1 Jumapili usiku
Ni kipigo cha aibu ambacho kinawafanya The Gunners kulipiza kisasi dhidi ya mabingwa hao
Mvutano kati ya timu hizo ulikuwa mkubwa baada ya sare ya 2-2 Septemba lakini hatimaye Arsenal wamepata ushindi dhidi ya vijana wa Pep Guardiola,..... download Xtra 90 App



