Mshambuliaji wa Uingereza Marcus Rashford, ambaye amejiunga na klabu ya Aston Villa kwa mkopo, huenda asicheze tena Man United kwa vile uhusiano kati ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 na timu hiyo ya Old Trafford umesambaratika. (Guardian)
Newcastle United inajiandaa kumsajili msahambuliaji wa Bournemouth na Uholanzi Justin Kluivert, 25, ikimkosa mshambuliaji wa Uswidi Alexander..... download Xtra 90 App



