Simba yaalikwa Bunge la Tanzania

Joel JJ By Joel JJ β€’ 4th February 2025


Simba yaalikwa Bunge la Tanzania

Wachezaji, benchi la ufundi na baadhi ya viongozi wa Utawala klabu ya Simba leo wametembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mkoani Dodoma

Simba iliweka kambi ya muda mfupi mkoani Dodoma kabla ya kuelekea Manyara ambako Alhamisi Februari 06 wanakabiliwa na mchezo wa ligi kuu dhidi ya Fountain Gate


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.