Wachezaji, benchi la ufundi na baadhi ya viongozi wa Utawala klabu ya Simba leo wametembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mkoani Dodoma
Simba iliweka kambi ya muda mfupi mkoani Dodoma kabla ya kuelekea Manyara ambako Alhamisi Februari 06 wanakabiliwa na mchezo wa ligi kuu dhidi ya Fountain Gate



