Manchester United bado iko tayari kumuuza winga wa Argentina Alejandro Garnacho, 20, na kiungo wa kati wa Uingereza Kobbie Mainoo, 19, msimu wa kiangazi (Guardian)
Mshambulizi wa Brazil Matheus Cunha, 25, ana nia ya kuhamia klabu kubwa licha ya kusaini mkataba mpya wa Wolves . (Football Insider)
Nottingham Forest ilikataa ofa ya siku ya mwisho kutoka kwa Chelsea kwa mlinzi wa Brazil..... download Xtra 90 App



