Mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC leo inaingia raundi ya 18 ambapo michezo miwili inataraji2a kupigwa
Jijini Mwanza, Pamba Jiji itakuwa mwenyeji wa Azam Fc katika mchezo utakaopigwa uwanja wa CCM Kirumba
Timu zote zimetoka kushinda mechi zao zilizopita ambapo Pamba Jiji iliichapa Dodoma Jiji bao 1-0 ugenini huku Azam Fc wkiilaza KMC mabao 2-0
Baada ya kupoteza mchezo uliopita,..... download Xtra 90 App



