Arsenal na Tottenham wote wanafikiria kumnunua mshambuliaji wa Fiorentina na Italia Moise Kean mwenye umri wa miaka 24. (Nicolo Schira)
Manchester United na Aston Villa zote zilikuwa tayari kutoa euro 70m (Β£58.3m) kwa Fermin Lopez wa Barcelona mwezi Januari, lakini mshambuliaji huyo wa miaka 21 wa Uhispania hakutaka kuhama. (Sport β In Spanish)
Barcelona ilikataa ofa ya kumsajili..... download Xtra 90 App



