Kocha Mkuu mpya wa Yanga, Miloud Hamdi, ameweka wazi falsafa yake kuwa anapenda soka la kushambulia zaidi na kupatikana mabao mengi iwezekanavyo, akiwa tayari ameshawaelekeza wachezaji wake kufanya hivyo kwenye mchezo wa leo dhidi ya JKT Tanzania, utakaopigwa Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar es Salaam
Yanga itakuwa ugenini leo ikicheza mchezo wa 18 wa Ligi Kuu, ikiwa kileleni na..... download Xtra 90 App



