Baada ya mapumziko ya siku chache, kikosi cha Simba kilirejea mazoezini jana kujiandaa na mchezo wa ligi kuu dhidi ya Tanzania Prisons ambao utapigwa kesho Jumanne, Februari 11 katika uwanja wa KMC Complex
Baada ya kudondosha alama mbili kwa kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Fountain Gate katika mchezo uliopita, ni wazi Simba inapiga hesabu za kushinda mchezo huo ili kuendelea kubaki..... download Xtra 90 App



