Ligi Kuu raundi ya 19 kuendelea leo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 14th February 2025


Ligi Kuu raundi ya 19 kuendelea leo

Mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inaendelea leo katika raundi ya 19. Mechi nne zinatarajiwa kupigwa katika viwanja mbalimbali

Tabora United watakuwa nyumbani kuikabili KenGold katika mchezo utakaopigwa mapema saa 8

Saa 10 jioni kutakuwa na mechi tatu Kagera Sugar wakiikabili Fountain Gate, KMC dhidi ya Yanga na Tanzania Prisons dhidi ya Namungo Fc


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.