Mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inaendelea leo katika raundi ya 19. Mechi nne zinatarajiwa kupigwa katika viwanja mbalimbali
Tabora United watakuwa nyumbani kuikabili KenGold katika mchezo utakaopigwa mapema saa 8
Saa 10 jioni kutakuwa na mechi tatu Kagera Sugar wakiikabili Fountain Gate, KMC dhidi ya Yanga na Tanzania Prisons dhidi ya Namungo Fc




