Newcastle itakuwa tayari kumuachia Alexander Isak kuondoka kwa Β£83.3m (100m euros) katika dirisha kubwa lijalo kama haitafuzu michuano ya Klabu bingwa Ulaya, huku Barcelona, Liverpool, Arsenal na Chelsea miongoni mwa vilabu vinavyomuania mhambuliaji huyo Msweden mwenye umri wa miaka 25. (Sport - in Spanish)
Atletico Madrid inamtamka kiungo mnigeria wa Leicester, mwenye umri wa miaka 28,..... download Xtra 90 App



