Ken Gold imeendelea kuweka hai matumaini ya kubaki ligi kuu msimu huu baada ya kuichapa Kagera Sugar bao 1-0 katika mchezo uliopigwa uwanja wa Sokoine
Ni ushindi wa pili kwa KenGold katika mechi nne zilizopita ambao wachimba dhahabu hao wamevuna alama 7 kati ya alama 12
KenGold imefikisha alama 13, sasa ikihitaji alama nne ili kuondoka katika eneo la kushuka daraja





