Manchester United wanamtaka mshambuliaji wa timu ya vijana ya England chini ya miaka 21 kutoka Ipswich Town, mwenye thamani ya Pauni milioni Β£40m, Liam Delap mwenye miaka 22
Delap, ambaye alitoka timu ya vijana ya Manchester City, ambaye amefunga mabao 10 katika ligi kuu ya England msimu huu na pia anaswakwa na Chelsea pia. (i Paper)
Liverpool iko tayari kumtoa mshambuliaji wake..... download Xtra 90 App



