Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amesema kikosi chake kiko tayari kwa mchezo wa ligi kuu dhidi ya Namungo Fc ambao utapigwa leo Jumatano, Februari 19 katika uwanja wa Majaliwa huko Ruangwa
Akizungumza jana katika Mkutano na wanahabari kuelekea mchezo huo, Fadlu amesema wanakwenda kukabiliana na timu ngumu ambayo ni imara katika safu ya ulinzi hivyo mpango wa mechi hiyo ni kutengeneza..... download Xtra 90 App



