Kocha wa Manchester United, Ruben Amorim, amewataka viongozi wa klabu hiyo kumsajili winga wa timu ya vijana ya Ureno chini ya miaka 21, Geovany Quenda, mwenye umri wa miaka 17, kutoka klabu yake ya zamani Sporting kwa dau la pauni milioni 35 (Star)
West Ham wana nia ya kumsajili beki wa kati wa Southampton, Taylor Harwood-Bellis, mwenye umri wa miaka 23 na anayewakilisha timu ya taifa ya..... download Xtra 90 App



