Mchezo wa ligi kuu kati ya Simba dhidi ya Azam Fc uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa umemalizika kwa matokeo ya sare ya mabao 2-2
Ni Mzizima Derby, mechi kali iliyokuwa na upinzani kutoka kwa kila upande, Simba wakitawala mchezo huku Azam Fc wakitumia mashambulizi ya kushitukiza
Azam Fc walitangulia kufunga bao la uongozi mapema dakika ya kwanza Gibril Sillah akimalizia shambulizi..... download Xtra 90 App



