Arsenal wanataka kumsajili kiungo wa Bayern Munich na Ujerumani, Joshua Kimmich, 30, kwa uhamisho huru majira ya kiangazi. (Sky Sports)
The Gunners wameonyesha nia thabiti ya kumsajili Kimmich, huku makubaliano ya kumsajili kiungo wa Hispania, Martin Zubimendi, 26, kutoka Real Sociedad yakielekea kukamilika. (Metro). Liverpool na Barcelona pia zinavutiwa na Kimmich. (Sun)





