Kocha Msaidizi wa Simba Selemani Matola amesema maandalizi yao kuelekea mchezo wa ligi kuu dhidi ya Coastal Union yamekamilika
Matola amesema wanatambua mchezo huo utakuwa mgumu lakini anaamini maandalizi mazuri waliyofanya yatawapa nafasi ya kushinda mchezo huo
Nahodha huyo wa zamani wa Simba amesema mechi zote za duru ya pili ni ngumu hivyo jambo muhimu kwao ni kupambana kila..... download Xtra 90 App



