Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi, amesema hadi kufikia Mei mwaka huu, hakuna mchezaji yeyote wa Yanga aliyesajiliwa msimu huu ambaye hatapata nafasi ya kucheza kwenye mchezo wowote wa Ligi Kuu Tanzania Bara
Kocha huyo amesema anataka wachezaji wote waliosajiliwa wacheze na waipe mafanikio klabu, kuwafurahisha mashabiki na wao wenyewe kutengeneza wasifu wao kwa maisha yao ya baadaye..... download Xtra 90 App



