Vilabu vya Manchester City na Manchester United vimejiandaa kupambana ili kumsajili kiungo wa Crystal Palace na timu ya taifa ya England, Adam Wharton, 21, majira ya kiangazi. (Teamtalk)
Mshambuliaji wa Napoli na Nigeria, Victor Osimhen, 26, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo Galatasaray, hana kipingamizi kuhamia Juventus majira ya kiangazi. (Gazzetta dello Sport)





