Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' usiku wa leo kuelekea kesho majira ya saa 6:30, itakuwa uwanjani huko Morocco kupepetana na wenyeji wao Morocco katika mchezo wa kuwania tiketi ya kufuzu michuano ya kombe la Dunia 2026
Hii ni mechi muhimu kwa Tanzania kuhakikisha haipotezi ili kuwa na matumaini ya kuwania nafasi hiyo katika kundi E





