Local,Normal News,Tanzana, Morocco

Morocco vs Tanzania kinapigwa leo usiku mnene

Joel JJ By Joel JJ
β€’
25 Mar 2025
Morocco vs Tanzania kinapigwa leo usiku mnene

Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' usiku wa leo kuelekea kesho majira ya saa 6:30, itakuwa uwanjani huko Morocco kupepetana na wenyeji wao Morocco katika mchezo wa kuwania tiketi ya kufuzu michuano ya kombe la Dunia 2026

Hii ni mechi muhimu kwa Tanzania kuhakikisha haipotezi ili kuwa na matumaini ya kuwania nafasi hiyo katika kundi E

Morocco ndio vinara wa kundi hilo wakikusanya alama 12 baada ya kushinda mechi zote nne wakati Tanzania ikishika nafasi ya tatu ikiwa na alama 6 sawa na Niger ambayo imefunga mabao mengi zaidi

Hata hivyo Niger wamecheza mechi nne wakati Stars ikicheza mechi tatu, leo itakamilisha mechi ya nne

Kama Stars hawatapoteza mchezo leo watakuwa na uhakika wa kusogea hadi nafasi ya pili

Hata hivyo haitakuwa kazi rahisi mbele ya Taifa bora zaidi kwenye soka Afrika kwa sasa

Ikiwa chini ya makocha wazawa Hemed Morocco, Juma Mgunda na Jamhuri Kiwhelo 'Julio', Stars imepania kuwaduwaza Morocco katika ardhi yao

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
44m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’