Mlinzi wa pembeni wa Liverpool na England Trent Alexander-Arnold, 26, amekubaliana na Real Madrid kwa mkataba wa miaka mitano na atajiunga na wababe hao wa Uhispania bila malipo. (Sky Sports)
Real pia inamfuatilia winga wa Athletic Bilbao na Uhispania Nico Williams, 22, ambaye ana kipengele cha kutolewa cha euro 62m (Β£51.8m), iwapo nyota wa Brazil Vinicius Jr, 24, atajaribiwa na uhamisho..... download Xtra 90 App



