Newcastle wamefanya mawasiliano ya moja kwa moja na wakala wa mshambuliaji wa Fiorentina Moise Kean kuhusu uhamisho wa majira ya kiangazi, huku mshambuliaji huyo wa Italia mwenye umri wa miaka 25 pia akizivutia Arsenal, Tottenham, AC Milan, Napoli na Barcelona. (Calciomercato)
Arsenal wako tayari kulipa pauni milioni 17 (euro milioni 20) kumnunua mlinda mlango wa Espanyol Joan Garcia..... download Xtra 90 App



