Rais wa heshima wa klabu ya Simba Bilionea Mohammed Dewji 'Mo' amesema wakati huu Simba inahitaji umoja na ushiriano kutoka kwa kila Mwanasimba ili kuhakikisha wanashinda mchezo wa mkondo wa pili robo fainali ya kombe la Shirikisho dhidi ya Al Masry
Jumatano, April 09, Simba itakuwa mwenyeji wa Al Masry katika ambao Simba inahitaji kushinda angalau mabao matatu ili kufuzu nusu..... download Xtra 90 App



